Indigenous cattle keeping are not
prominent in the region. These supply the draught animals and others are
reared for slaughtering and milk. In some periods few cattle are
brought in from other regions for fattening and then slaughtered or
exported to Arabian countries and Comoro. The region slaughters an
average of 800-1000 cattle daily
Huduma zinazotolewa na Wataalamu wa Mifugo wa Serikali:-
|
- Kutoa tiba na kinga dhidi ya magonjwa ya mifugo
- Kutoa elimu na ushauri kwa wafugaji kuhusu kanuni za ufugaji bora
- Uhamilishaji (A.I.) na kupima mimba
- Ukaguzi wa nyama na ngozi
- Kutoa vibali vya kusafirisha mifugo
- kutoa vibali kwa watu walioumwa na mbwa/wanyama kuweza
kupata chanjo ya kuzuia ugonjwa wa kichaa cha mbwa katika hospitali za
binadamu.
|
|
Huduma zinazotolewa na wataalam wa sekta binafsi: |
|
1. Kutoa tiba na kinga dhidi ya magonjwa ya mifugo
2. Kutoa elimu na ushauri kwa wafugaji kuhusu kanuni za ufugaji bora
3. Uhamilishaji (A.I.) na kupima mimba
Uuzaji wa mifugo katika mnada wa Pugu |
|
Mnada wa upili wa mifugo (secondary market) wa Pugu, unapokea wastani wa ng'ombe 451 , mbuzi na kondoo kwa pamoja 130 hadi 400 kwa siku
|
|
|
Viwanda vya kusindika maziwa na bidhaa zake: |
|
|
1.Royal Dairies
2. Azam Dairies
3.Tomy Dairies
4.Tan Dairies
|
|
|
Viwanda hivi
vinasindika maziwa na kutoa mazao mbalimbali kama vile siagi, jibini,
mtindi, na maziwa freshi. Maziwa yanayosindikwa hupatikana toka kwa
wafugaji walioko mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani.
|
|
Mazao ya mifugo
|
|
Mkoa wa Dar es Salaam kwa mwaka huzalisha wastani wa vipande vya ngozi za ng'ombe 194,489 , mbuzi 72,788 na kondoo 18,948 .
Yapo makampuni 4 yanayojishughulisha na ununuzi wa ngozi moja kwa moja
au kupitia kwa wafanyabiashara wa ngozi kutoka machinjio za mkoa wa Dar
es Salaam, kati yao kampuni 1 inajishughulisha pia na usindikaji wa
ngozi. Makampuni hayo ni:-
- East Africa Leather Company
- Afro Leather Company inajihusisha na ununuzi pamoja na usindikaji wa ngozi.
- SAK International
- Lake Traders Company
Mkoa wa Dar es Salaam kwa mwaka huzalisha wastani wa tani za maziwa 17,739 na mayai trei 1,440,000 .Uzalishaji wa nyama kwa mwaka ni wastani wa kilo 32,118,844 kwa aina mbalimbali za wanyama kama inavyooneshwa katika jedwali:-
|
Na. |
Aina ya mifugo |
Kiasi cha nyama (Kg) |
1 |
Ng'ombe |
28,246,500
|
2 |
Mbuzi |
1,136,496
|
3 |
Kondoo |
178,644
|
4 |
Nguruwe |
736,500
|
5 |
Kuku |
1,820,704
|
|
Jumla |
32,118,844
|
|
|
|
|
|